Davido ashangilia baba yake kutoa sadaka zaidi ya bilioni 1 kanisani.
Baba mzazi wa staa wa afrobeat kutoka Nigeria David Adeleke maarufu Davido bilionea Adedeji Adeleke siku ya jana ametoa sadaka ya fedha ya Kinigeria Bilioni 1 zaidi ya Bilioni 1 za Kitanzania kwenye kanisa la C&S aliloshiriki ibada ya kumuombea marehemu mama yake. Bilionea huyo ametoa sadaka hiyo na kuikabidhi kwa uongozi wa kanisa baada…