Kwa Hiki Chuma, Hata Messi Anafichwa

Muda wowote kuanzia sasa mlinzi wa Lille, Leny Yoro anaweza akatua kwenye Jiji la Manchester kukamilisha usajili wake wa kujiunga na Man United. Inaelezwa kuwa kila kitu kimekamilika kilichosalia ni kufanyiwa vipimo vya afya na kumalizika mambo binafsi kabla ya Mfaransa huyo kutangazwa na Red Devils. Taarifa za uhakika zaidi zinaeleza kuwa Man United watalipa…

Read More

Ruto awashutumu Wamarekani wanaofadhili maandamano ya Gen-Z Kenya

Rais wa Kenya William Ruto akiwa katika hafla moja katika mji wa Rift Valley, Nakuru ameshutumu taasis binafsi kutoka nchini Marekani ya Ford Foundation inayofadhili maandamano na ghasia zinazoendelea nchini humo kwa wiki kadhaa sasa huku yakishuhudia makumi ya raia wakipoteza uhai. “Wale wanaofadhili machafuko katika Jamhuri ya Kenya, aibu kwao kwa sababu wanafadhili ghasia…

Read More