“Phiri Tayari, Kramo tunajadiliana naye” Magori
“Phiri alikuwa na mkataba wa mwaka mmoja kwahiyo alienda kwa mkopo miezi sita lakini baada ya miezi sita tumekaa tumekubaliana bora tuachane kila kitu kipo sawa tumemalizana vizuri na hakuna kesi inayoenda FIFA”. “Kramo nae tupo kwenye mazungumzo kuangalia tutakavyoishi atatolewa kwa mkopo au tutaagana kwa sababu ulikuwa mjadala mrefu sana huyu mchezaji ni mchezaji…