Serikali yalifungia kanisa la Kiboko ya Wachawi
Serikali imeagiza kufungwa Kanisa la Christian Life Church linaloongozwa na Mchungaji Domique Kashoix Dibwe maarufu Kiboko ya Wachawi, lililopo Buza Kwa Lulenge. Hatua hiyo imechukuliwa baada ya kanisa hilo kwenda kinyume cha taratibu za usajili. Barua hiyo ya Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi kupitia Ofisi ya Msajili wa Jumuiya za Kiraia…