
Bilionea wa India agharamia harusi za watu 50 na kuwalisha kwa mwaka mzima.
Tajiri namba moja barani Asia kutoka Nchini India Mukesh Ambani ambaye hivi karibuni alitikisa Duniani kutokana na harusi kubwa na ya kifahari ya kijana wake Anant Ambani iliyohudhuriwa na mabilionea duniani kote kuzua gumzo,imefahamika kuwa kabla ya harusi hiyo ya kijana wake iliyogharimu zaidi ya Trilioni 1.9 aligharamia pia harusi za wachumba 50 ambao hakuwa…