Simba yaitandika 2-1 Timu ya Saudia
Klabu ya Simba imeshinda magoli 2-1 dhidi ya klabu ya Al Adalah ya ligi daraja la kwanza nchini Saudi Arabia kwenye mchezo wa tatu wa maandalizi ya msimu (Pre Season) uliochezwa kwenye dimba la Suez Canal nchini Misri. Kwenye mchezo huo magoli ya Simba yamefungwa na wachezaji wapya Steven Mukwala dakika ya 9 na Joshua…