Mido ‘Fundi’ wa Twiga Stars kucheza timu inayoshiriki UEFA
Kiungo mshambuliaji ‘fundi’ wa timu ya Taifa ya wanawake ya Tanzania Diana Lucas Msewa mwenye umri wa miaka 21 anatajwa kuwa kwenye mipango ya kujiunga na klabu ya Trabzonspor Kadin Inayoshiriki Ligi kuu wanawake nchini Uturuki na ligi ya Mabingwa Ulaya akitokea Amed Sk ya ligi kuu nchini humo. klabu aliyopo Diana sasa, Amed SK…