HAYA HAPA MAGAZETI YA LEO ALHAMISI JULAI 18, 2024
Tumekuwekea habari kubwa za kwenye vichwa vya habari kwenye magazeti ya Tanzania katika habari za kitaifa na michezo ya leo Alhamis tarehe 18 July 2024, na ujipatie nakala yako kwa undani wa habari.
Tumekuwekea habari kubwa za kwenye vichwa vya habari kwenye magazeti ya Tanzania katika habari za kitaifa na michezo ya leo Alhamis tarehe 18 July 2024, na ujipatie nakala yako kwa undani wa habari.
Penzi la msanii wa Muziki kutoka Nigeria Kizz Daniel linatajwa kuwa matatani kuvunjika kutokana na ujumbe aliokuwa ameuchapisha msanii huyo kwenye mtandao wa X na badae kabla ya kuufuta. Msanii huyo alichapisha ujumbe unaosomeka “Kama unataka kuvunja mahusiano na mimi hakuna shida wewe nilipe bili zangu kwa kila kitu nilichokufanyia muda wangu, zawadi zangu na…
BEKI wa zamani wa Simba ya Tanzania, Henock Inonga anatajwa kuwa kwenye changamoto mpya ndani ya AS FAR Rabat kwa ajili ya kutimiza majukumu yake hapo. Ikumbukwe kwamba msimu wa 2023/24 Inonga ndani ya ligi alicheza mechi 10 pekee za ligi muda mwingi alikuwa akitumia kwenye matibabu kwa kuwa hakuwa fiti. Inonga anatua AS FAR Rabat timu ambayo ilikuwa ikinolewa na aliyekuwa kocha wa Yanga, Nasreddine…
Timu ya wanawake ya Brighton & Hova Albion imetangaza kumsajili mshambuliaji Aisha Masaka raia wa Tanzania akitokea BK Hacken ya Sweden Nyota huyo amewahi kupita timu ya wanawake ya Yanga SC na ni moja ya wachezaji wa kutegemewa wa timu ya taifa ya wanawake ya Tanzania ‘ Taifa Stars’.
Mwandishi wa habari wa Catherine Wanjeri Kariuki anayefanya kazi katika kituo cha Kameme TV kilichopo chini ya Mediamax Limited, amepigwa risasi na polisi wakati akiwa kwenye majukumu yake katika mji wa Nakuru nchini Kenya, akiripoti maandamano yanayoongozwa na vijana wanaofahamika kama Gen Z yaliyodumu kwa wiki kadhaa yakimshinikiza Rais William Rutto kuachia madaraka. Akiwa amevalia…
Muda wowote kuanzia sasa mlinzi wa Lille, Leny Yoro anaweza akatua kwenye Jiji la Manchester kukamilisha usajili wake wa kujiunga na Man United. Inaelezwa kuwa kila kitu kimekamilika kilichosalia ni kufanyiwa vipimo vya afya na kumalizika mambo binafsi kabla ya Mfaransa huyo kutangazwa na Red Devils. Taarifa za uhakika zaidi zinaeleza kuwa Man United watalipa…
Mahakama moja katika mji mkuu wa Nigeria, Abuja imevunja ndoa ya miaka minne ya wanandoa baada ya mume kuwasilisha ombi la kutaka ndoa ivunjwe akidai mkewe huwa hamheshimu kwenye ndoa. Kwa mujibu wa Shirika La Habari La Nigeria, Beshiru Mutairu alielekea mahakamani akitaka ndoa yake ya Kiislamu na mkewe, Amina, kuvunjwa kwa kukosekana kwa upendo…
Klabu ya Azam imefanikiwa kuinasa saini ya kiungo mshambuliaji wa Kimataifa wa Mali, Cheickna Diakite, aliyemnunuliwa kutoka miamba ya soka ya Mali, Real Bamako. Nyota huyo chipukizi mwenye umri wa miaka 19, aliyepachikwa jina la staa wa Real Madrid “Mbappe”, kutokana na kasi na uwezo wake wa kuipenya safu ya ulinzi ya timu pinzani,…