chikao chikao

Beyonce kumburuza Trump mahakamani.

Mwanamuziki wa Marekani Beyonce ameripotiwa kumfungulia mashtaka Rais wa zamani wa Marekani ambaye kwa sasa yupo kwenye kampeni za kurejea kwenye kiti hicho Dolald Trump kufuatia kutumia wimbo wake wa ‘Freedom’ bila ridhaa yake. Siku ya Jana Trump mtu mmoja aliyepo kwenye timu ya kampeni ya Trump Steve Cheung alichapisha kipande cha video kwenye mtandao…

Read More