Rais mstaafu mwenye miaka 84 kurejea tena madarakani.
Rais mstaafu wa Malawi Peter Mutharika ameidhinishwa na Chama chake kugombea tena Urais katika Uchaguzi Mkuu wa Nchi hiyo utakaofanyika mwaka 2025 ikiwa ni miaka mitano tu imepita tangu aliposhindwa kutetea nafasi yake na kutupwa chini kwenye Uchaguzi na Rais Lazarus Chakwera. Mutharika mwenye umri wa miaka 84 alikuwa rais wa nchi hiyo kuanzia mwaka…