GAMONDI AU PANIA AZAM KUELEKEA FAINALI YA NGAO YA JAMII
Kocha Mkuu wa Yanga SC, Miguel Gamondi kuelekea mchezo wa fainali ya Ngao ya Jamii dhidi ya Azam FC. “Huu ni mchezo wa fainali, unapaswa kuwa makini sana, nakumbuka vyema mchezo uliopita pale Zanzibar, tayari tunayo picha sahihi tunapaswa kwenda na mbinu gani dhidi ya Azam Fc, niwahakikishie Yanga Sc ni timu imara sana,…