Mafuriko yalizoa kasri la Drake huko Toronto, Canada
Majanga ya mafuriko usifikiri ni Tanzania tu, hata huko mbele kwa wenzetu mtindo ni ule ule, na safari hii Rapa maarufu duniani, Drake yamemfika baada ya jumba lake la kifahari (kasri) lililopo nchini Canada kusombwa na mafuriko. Drake alichapisha video ya jumba lake lililofurika maji kwenye ukurasa wake wa instagram. Jiji la Toronto lilikumbwa na…