Zelensky aomba ruhusa ya kuipiga urusi kwa makombora ya magharibi

Rais wa Ukraine Vladimir Zelensky ametoa wito kwa washirika Katika mkutano na Waziri Mkuu wa Uingereza Keir Starmer na baraza lake la mawaziri, kuiruhusu Ukraine kutumia silaha za Magharibi katika ardhi ya Urusi. “Muhimu kwa hili ni silaha za masafa marefu. Tafadhali washawishi washirika wetu wengine kuondoa vizuizi, “Zelensky alimueleza Bw Starmer, akimaanisha kuruhusu mashambulizi…

Read More