dangote anaishi nyumba ya kupanga

Dangote Pamoja na Utajiri wake wote, Anaishi Kwenye Nyumba ya Kupanga

Inawezekana wengi wetu tunajitazama kwenye mafanikio pale tunapo miliki nyumba zenye hadhi na muonekano mzuri. Hii imekuwa tofauti kwa Tajiri namba moja barani Afrika, Aliko Dangote ambaye amewashangaza wengi na kuzua mijadala katika vijiwe vya kidijitali baada ya kusema hana nyumba nchi nyingine yoyote zaidi ya Nigeria. “Sababu ya kutokuwa na nyumba London au Marekani…

Read More
Iman Kajula kuondoka simba

Mzee wa Back To School Atema Bungo

Afisa Mtendaji Mkuu wa Simba SC, Imani Kajula ameonba kuondoka ndani ya timu mara baada ya mkataba wake kumalizika. Mkataba wa CEO huyo unatarajiwa kumalizika mwezi Agosti na mwenyewe ameomba kando na maamuzi hayo aliyafanya toka mwezi. Taarifa za Kajula kuondoka ndani ya timu zimethibitishwa na uongozi wa klabu hiyo kupitia ukurasa zao rasmi za…

Read More