Uhispania Yatwaa Ubingwa wa EURO

Uhispania imetwaa ubingwa wa kombe la Mataifa Ulaya, EURO kwa mara ya nne kihistoria kufuatia ushindi wa 2-1 dhidi ya England kwenye fainali katika dimba la Olympiastadion (Berlin).

 

Hispania walitwaa kombe hilo kwa mara ya kwanza mnamo 1964 kabla ya kutwaa mara mbili mfululizo mwaka 2008 na 2012 na leo wametwaa kwa mara ya nne.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *