Zanzibar Finest kumrithi mzungu Mamelodi.
Taarifa kutoka Afrika Kusini zimeripoti kuwa klabu ya Mamelodi Sundowns inajiandaa kutuma ofa ya pili kwa klabu ya Azam kwa ajili ya kupata huduma ya kiungo Feisal Salum ili kuziba pengo la Bongani Zungu na Gaston Sirino ambao walitangaza kuachana nao hivi karibuni. The brazilians wameamua kuwa serious na dili hilo baada ya kutuma ofa…