AYRA STARR NA TEMS WAONGOZA SPOTIFY
Wanamziki kutoka Nigeria Ayra start na Tems wametangazwa kuwa mwaka huu nyimbo zao ndio zinasikilizwa zaid kutoka nchini humo kupitia jukwaa la Spotify . Lakini pia wimbo wa Luciano na Omah lay unaokwenda kwa jina la ‘ Another vibe’ umeshika nafasi ya tatu huku ‘ just like me ‘ ulioimbwa na 21 savage , Burna…