chikao chikao

Iman Kajula kuondoka simba

Mzee wa Back To School Atema Bungo

Afisa Mtendaji Mkuu wa Simba SC, Imani Kajula ameonba kuondoka ndani ya timu mara baada ya mkataba wake kumalizika. Mkataba wa CEO huyo unatarajiwa kumalizika mwezi Agosti na mwenyewe ameomba kando na maamuzi hayo aliyafanya toka mwezi. Taarifa za Kajula kuondoka ndani ya timu zimethibitishwa na uongozi wa klabu hiyo kupitia ukurasa zao rasmi za…

Read More

Mrembo achagua kuhesabu mchele badala ya kuwaamini wanaume, azua gumzo mitandaoni

Mwanamke mmoja amezua hisia kwenye mitandao ya kijamii baada ya kudai kwamba kwake kumuamini mwanamume ni vigumu. Mrembo huyo alisema kwamba endapo atatakiwa kufanya chaguo kati ya kuamini mwanamume au kuanza kuhesabu nafaka za mchele moja baada ya nyingine, basi yuko radhi kuhesabu nafaka za mcheke hata kama ni gumia mzima. Katika chapisho la video…

Read More
Samia Suluhu

Bei ya Mahindi Sasa Si Tatizo Tena

Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania chini ya Rais wa Jamhuri ya Muungano Dkt.Samia Suluhu Hassan imetatua changamoto ya bei elekezi ya mahindi mkoani Katavi iliyolalamikiwa kwa muda Kupitia Wizara ya Kilimo na Waziri wa Wizara hiyo Mhe.Hussein Mohamed Bashe amesema bei ya wakulima kuanzia leo Vituo vyote vya ofisi ya wataalamu wakala wa…

Read More

KARIA: “Idadi ya wachezaji wa kigeni haipungui”

“Tumeamua kusisitiza kubaki na wachezaji wengi wakigeni licha ya watu wengi kutaka wachezaji wakigeni wapunguzwe,mafanikio ambayo tumeyapata ni kwasababu ya uwepo wa wachezaji wakigeni ambao kabla ya wao kuja timu zetu zilikuwa hazifanyi vyema katika michuano ya kimataifa. “Kwa takwimu tulizonazo wachezaji wakigeni hawajafika 70 kati ya wachezaji 600 ambao huwa wanashiriki katika ligi kuu,hivyo…

Read More