Ronaldo aweka rekodi mpya ya kufunga Saudia
Baada ya jana klabu ya Al Nassr kupata sare ya 1-1 dhidi ya Al Raed kwenye ligi kuu Saudia nahodha wa timu hiyo na mshindi mara 5 wa tuzo ya Ballon D’or Cristiano Ronaldo ameweka rekodi ya kufunga mabao mengi kuliko idadi ya mechi kwenye ligi huiyo tangu ahamie Saudia. Hadi sasa kwenye ligi hiyo…