50 CENT Afichua siri ya utofauti wa kufanya series na single movie.

Mwigizaji na mtayarishaji wa filamu kutoka nchini Marekani anayefahamika zaidi kama 50 Cent amefunguka kwanini kutengeneza tv series ni bora kuliko kuandaa movie ya fupi ya kawaida.   Kupitia mahojiano aliyoyafanya msanii huyo maarufu ambaye pia ni rapa amesema kufanya series haihitaji msanii maarufu inahitaji kipaji pekee ila kufanya movie inahitaji msanii maarufu .  …

Read More

MSIMAMO WA FEISAL KWA AZAM FC

Kiungo mshambuliaji wa Azam FC, Feisal Salum ‘Fei Toto’ amesema licha ya kuondolewa mapema katika michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika msimu huu, anaamini timu hiyo ina kikosi bora chenye ushindani na nafasi yao mwisho wa msimu kwenye ligi iko palepale. . “Hakuna mchezaji ambaye alitamani tuishie njiani, tulikuwa na malengo makubwa lakini imeshatokea, hatujakata…

Read More

Edna Lema arejea Yanga Princess

Klabu ya Yanga imethibitisha kumrejesha aliyekuwa kocha wao mkuu wa timu ya Wanawake Edna Lema kuwa kocha mkuu kwa mara nyingine. Edna ambaye aliondoka Yanga msimu wa baada ya 2022/23 kuelekea Bishara United ya ligi daraja la kwanza amerejea Yanga baada ya msimu mmoja na sasa atakuwa kocha mkuu wa Yanga Princess kwaajili ya msimu…

Read More

DENI LASABABISHA UHABA MKUBWA WA MAFUTA NIGERIA

Kampuni ya Kitaifa ya Petroli ya Nigeria (NNPC Ltd) inakabiliwa na matatizo ya kifedha, ambayo yameweka shinikizo kubwa kwa makampuni ya usambazaji mafuta na kusababisha tishio kwa uendelevu wa usambazaji wa mafuta. Olufemi Soneye, Afisa Mkuu wa Mawasiliano wa Kampuni ya NNPC Ltd, alifahamisha haya katika taarifa Jumapili, akikubali ripoti katika magazeti ya kitaifa kuhusu…

Read More

ZARI APANDA NDEGE MPAKA KAMPALA KUMUOMBA MSAMAHA SHAKIB

Zari Hassan ameomba radhi hadharani kwa mumewe, Shakib Lutaaya, akikiri kwamba kelele zake za hivi karibuni kwenye mitandao ya kijamii zilichochewa na kufadhaika. Mfanyabiashara huyo alifunguka kuhusu matendo yake wakati wa mahojiano na vyombo vya habari, ambapo alieleza kuwa kwa sasa yuko Kampala kuungana na Shakib na kurekebisha uhusiano wao. Zari Hassan anamuomba mume Shakib…

Read More