AZAM FC YATAJA UGUMU WA APR ULIPO

BENCHI la ufundi la Azam FC limebainisha kuwa lina kazi kubwa yakufanya kuelekea mchezo wa marudio dhidi ya APR ya Rwanda unaotarajiwa kuchezwa Agosti 24 2024 huku likiweka wazi kuwa ugumu wa kupata matokeo mbele ya wapinzani wao ni eneo la ulinzi kutokana na namna ambavyo wanajipanga. Ipo wazi kwamba mchezo wa awali wa Ligi ya Mabingwa Afrika uliochezwa…

Read More
Ubakaji na ulawiti video

WATUHUMIWA KESI YA UBAKAJI NA ULAWITI WAFIKISHWA MAHAKAMANI

Watuhumiwa wanne wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Dodoma kufuatia video iliyosambaa katika mitandao ya kijamii ikionesha binti akiingiliwa kinyume na maumbile na kikundi cha watu huku wakidai wametumwa na afande kufanya uovu huo. Akizungumza leo Jijini Dodoma mara baada ya kusomwa kwa mashtaka yanayowakabili washtakiwa hao, Mkurugenzi Msaidizi wa Makosa dhidi ya Binadamu kutoka…

Read More

Nampenda sana Wizkid – Nicki Minaj

Kutoka nchini Marekani, Malkia wa Rap Nicki Minaj ameeleza jinsi anavyovutiwa na mwanamuziki wa Nigeria, Ayodeji Balogun, maarufu kwa jina la Wizkid. Akiongea hivi majuzi kwenye kipindi cha #StationHead, Nicki alisema ana ‘upendo na heshima nyingi’ kwa Wizkid. Minaj alimuelezea staa huyo wa ngoma maarufu ya ‘Ojuelegba’ kama mtu mtulivu na mwenye akili nyingi. “Wizkid…

Read More